Huu ni ushindi wake wa kwanza, baada ya kufanya vema katika hatua zote 18 za mashindano hayo kwa kuwa na muda bora wa saa tatu, dakika 16 na sekunde tano. “Huu ni ushindi muhimu sana kwangu. Asanteni ...
Katika hali isiyo ya kawaida, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amelazimika kuchukua jukumu la askari wa usalama barabarani na kusaidia kuongoza magari kufuatia msongamano mkubwa wa magari jioni ya ...
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema matumizi ya serikali, hasa katika ununuzi wa magari na kugharamia mafuta na matengenezo yake, vinaongeza ugumu wa maisha kwa wananchi. Viongozi wakuu wa chama hicho ...
Mashindano ya dunia ya kukimbiza Magari, Kenya Safari Rally, yanaendelea kushika kasi mjini Naivasha ambapo madereva mbalimbali duniani, wanachuana kutafuta ubingwa. Nani ataibuka bingwa ?